UKIWA na Mambo Haya Nane Katika Maisha Yako..Total Wewe Ni Mmoja ya Wanaume Wenye Matatizo ya Nguvu za Kiume..!! |Shamteeblog.



Sasa naomba kueleza baadhi ya sababu ambazo huchagia kuleteleza upungufu wa nguvu za kiume:-

1. Uchovu wa mwili

2. Msongo wa mawazo

3. Ulevi

4. Kupooza kwa mwili

5. Ugonjwa wa kisukari

6. Kujichua kwa muda mrefu

7. Wasiwasi wa kutekeleza tendo la ndoa

8. Mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa


from UDAKU SPECIAL BLOG https://ift.tt/32CElEr

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post