Deodatus Mwanyika Ashinda Ubunge Njombe Mjini |Shamteeblog.


Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Njombe Mjini amemtangaza Deodatus Mwanyika (CCM) kuwa  mshindi wa jimbo hilo kwa kupata kura 29,553 huku mshindani wake Emmanuel Masonga (CHADEMA) akipata kura 5,940. 



By Mpekuzi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post