Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya leo amefungua Maonesho ya Siku ya Wakulima wa Miwa yanayofanyika Kitaifa wilayani Kilombero mkoa wa Morogoro. Akizungumza na wakulima wa miwa na wadau wa sukuri ,Kusaya amesema lengo la Maonesho hayo ni kuhamasisha uzalishaji miwa unaotumia teknolojia ya kisasa na matumizi ya mbegu bora ili kuwezesha nchi […]
By Mpekuzi
Post a Comment