Na Amiri Kilagalila,Njombe Wakulima wapatao 5200 wa zao la parachichi mkoani Njombe wanatarajia kunufaika na zao hilo linalohitaji maji mengi baada ya kuwa na uhakika wa kupata maji ya kumwagilia kupitia umeme wa solar pump. Hayo yamesemwa na wakulima wa parachichi mkoani Njombe baada ya kukopeshwa solar kutoka kampuni ya Ensol ambayo imekuwa ikiwafungia wakulima […]
By Mpekuzi
Post a Comment