Rais Magufuli awapongeza Joe Biden na Kamala Harris |Shamteeblog.


Rais wa Tanzania John Magufuli amempongeza Rais mteule Joe Biden na aliyekuwa mgombea mwenza Kamala Harris kwa ushindi walioupata katika uchaguzi mkuu wa Marekani.

Katika Ukurasa wake wa Twitter Rais Magufuli ameseme anawahakikishia wawili hao kuwa Tanzania itaendelea kutunza uhusiano uliopo kati ya nchi hizo mbili.


 


By Mpekuzi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post