WANANCHI KATA YA KITEMBE RORYA WAPEWA MWEZI MMOJA UJENZI WA VYOO, SEHUMU ZA KUTUPA TAKA. |Shamteeblog.

Na Frankius Cleophace, Rorya.   Wananchi wa kata ya Kitembe Wilayani Rorya Mkoani Mara wamepewa siku 30 kwa ajili ya ujenzi wa vyoo, kuchimba mashimo ya kutupa taka pamoja na kujenga chanja za kuwekea vyombo ili kuepuka milipuko ya magonjwa. Hayo yamebainishwa na Kaimu afisa mtendaji wa kata ya Kitembe, Roby Anselim katika mkutano wa […]

Source



By Mpekuzi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post