NA HERI SHAABAN MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Bonnah Ladslaus amewataka wananchi wa Jimbo la Segerea kushirikiana na Watendaji katika kutatua kero za Wananchi . Mbunge Bonah aliyasema hayo Dar es Salaam leo wakati wa kuwashukuru Wajumbe wa Mkutano wa Jimbo la Segerea. “Nawaomba viongozi wangu wa Chama tushirikiane na Watendaji katika kutatua kero […]
By Mpekuzi
Post a Comment