Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa itikadi na uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka akizungumza jambo na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe walipokutana Kibondo mjini leo Mei 15,2021,ambapo vyama hivyo leo vinahitimisha/funga kampeni zake tayari kwa uchaguzi hapo kesho Mei 16,2021.
By Mpekuzi
Post a Comment