MSANII BURNA BOY KUTOKA NIGERIA ASHINDA TUZO YA BET 2021.. DIAMOND PLATNUMZ AKOSA |Shamteeblog.



Msanii Nassib Abdul maarufu Diamond Platnumz amekosa tuzo ya BET ambazo zimefanyika usiku wa kuamkia leo Juni 28, Mkali huyo anayetamba na kibao cha Kamata, alikuwa kwenye kipengele cha Best International Act, tuzo hiyo imeeenda kwa msanii wa Nigeria Burna Boy.

Msanii Burna Boy kutokea nchini Nigeria amefanikiwa kushinda tuzo ya BET kupitia kipengele cha BEST INTERNATIONAL ACT 2021.

Burna Boy alikuwa anashindana na wakali wengine;- Diamond Platnumz (Tanzania), Aya Nakamuraa (Ufaransa), Emicida (Brazil), Headie One (Uingereza), Wizkidayo (Nigeria), YoungTand Bugsey (Uingereza) na Youssouphamusik (Ufaransa).




By Mpekuzi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post