Mwijaku Afunguka Haya Baada ya Mondi Kuvuta Rolls Royce "Gari Haikupi Akheraa" |Shamteeblog.


Kutoka Kwenye Ukurasa Wa Twitter Wa @mwijaku Ameandika.....''Nguvu unazo tumia ungeielekeza kwenye ibada na kumnyenyekea Mungu . Ungekua katika daraja zuri . Ila dunia inakuhadaaa na unajisahau . Tusubirie tuone kama hilo gari litakupa msaada wowote akheraa ..! #PepoSioKwapa #RudiKwaAllah #AchaKuvaaMsalaba ''

Nafasi za Ajira Serikalini Bonyeza HAPA

Nafasi za Scholarships Bonyeza HAPA





from Author

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post