PONGEZI KWA MDAU SALIMU KAMBONA KWA KUPATA 'JIKO',TUNAWATAKIA KHERI NA BARAKA TELE KATIKA MAISHA YAO MAPYA YA NDOA. |Shamteeblog.

 

Mdau Salim Kambona akiwa na Mkewe mpendwa Bi Nadra Hamis wakiwa katika nyuso za furaha kabisa mara baada ya kufunga pingu za Maisha jijini Dar,Ama kwa hakika Michuzi Blog inawatakia kheri,baraka,afya njema na furaha tele katika hatua yao ya  kuianza upya safari yao ya ndoa .




By Mpekuzi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post