Wizkid na Burnaboy Kuingia Studio, Lini Kiba na Mondi Wataingia? |Shamteeblog.


Kulingana na page rasmi zinazo Toa habari na updates kuhusu wasanii @wizkidayo na @burnaboygram kwa pamoja zinaeleza uwepo wa collabo kati ya wakali hao kutoka nchini nigeria hivi karibuni.

Wawili hao wamekua na muunganiko mzuri kwa sasa ,wakionesha kushirikiana katika baadhi ya matamasha /tour wanazofanya nje ya nigeria, huku wote wakitajwa kuwania tuzo kubwa kabisa duniani za 'Grammy 2022'.

✍🏾@keviiiy.iam




from Author

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post