Marekani imekanusha Taarifa ya Hushpuppi Kutekeleza wizi wa Sh milioni 926 kwa njia ya mtandao Akiwa Gerezani. |Shamteeblog.


Marekani imekanusha taarifa kuwa raia wa Nigeria, Ramon Abbas, maarufu Hushpuppi, ametekeleza wizi wa $400,000 (TZS milioni 926) kwa njia ya mtandao akiwa gerezani.

Hushpuppi alikamatwa mwaka 2020 kwa tuhuma za wizi wa jumla ya TZS bilioni 55.6, na anashikiliwa nchini Marekani.  





from Author

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post