Mbowe Atoa Mpya "Jeshi la Polisi Asanteni Hakuna Sisimizi Aliyekanyagwa, Hakuna Mtu Aliyekamatwa wala Mtu Aliyepigwa Bomu" |Shamteeblog.


"Leo nimepokelewa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), hakuna sisimizi aliyekanyagwa, hakuna Mtu aliyekamatwa wala Mtu aliyepigwa bomu, Jeshi la Polisi ahsanteni sana, hii ndio Tanzania tunayoitaka" - Freeman Mbowe.



from Author

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post