![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDMR_4Cw1UirYW6AP9yZIEYQWRni_wdS5Pz-5fGHGmXl8WBLSaF5HP8CrfxbIUiGu8JaHyWs-QrGk1uGVbwU1neoBcyqyaN3am6b5arEdwhbcyfY7mcvNIOZg9SfAu88ty1eGgzX-Q17y7JhIASGUYv8JB-4o8Wiad_-nBLbZhZp4eSxJ3iw/w640-h288/IMG-20220516-WA0057.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2022/05/IMG-20220516-WA0126.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2022/05/IMG-20220516-WA0062.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2022/05/IMG-20220516-WA0146.jpg)
Baadhi ya Samani mbalimbali zinazotengenezwa na katika Kiwanda cha Samani Uyui, Tabora. Kiwanda hicho kipo Gereza Kuu Uyui.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2022/05/IMG-20220516-WA0063.jpg)
KAMISHNA Jenerali wa Magereza, Meja Jenerali Suleiman Mzee mapema leo amezindua miradi ya Gereza Kuu Uyui,Tabora. Miradi hiyo ni mradi wa Duka, Mashine ya kusaga, majengo ya biashara. CGP Mzee amepongeza juhudi hizo za kumuunga mkono Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa mema anayoyafanya kwa Jeshi na Taifa kwa ujumla.
By Mpekuzi
Post a Comment