MTENDAJI MKUU WA BENKI YA NMB ATEMBELEA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI |Shamteeblog.


Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna (hayupo pichani) alipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali kwa lengo la kujitambulisha Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna akizungumza na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) alipomtembelea kwa lengo la kujitambulisha Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Maafisa waandamizi wa Benki ya NMB wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo,
Bi. Ruth Zaipuna (hayupo pichani) walipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali kwa lengo la kujitambulisha ofisi kwake jijini Dar es Salaam.


By Mpekuzi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post