Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapa onyo kali Wakurugenzi,Wakuu wa Wilaya na Viongozi wote waliochini ya Mwamvuli wa Serikali za mitaa kwa kuwataka kutoa taarifa mapema kwa wanaotaka kurudi kwa wananchi na kuomba ridhaa ya kuwaongoza ili viongozi walio chini yao wapandishwe hadhi na kushikilia nafasi zao badala ya kuacha Serikali za mitaa bila viongozi na kuongeza kuwa kwa atakaye fanya hivyo bila kutoa taarifa basi ajiandae kukosa yote kwa kupoteza cheo na kuiacha nafasi aliyokuwa akiitumikia.
By Mpekuzi
Post a Comment