TEAM FEBRUARY WASHEREHEKEA MWEZI WA KUZALIWA KWA KUTOA MSAADA KWA WAZEE USANDA |Shamteeblog.

Kikundi cha watu maarufu kama Team February, kinachojivunia watu waliozaliwa mwezi wa pili, kimeonyesha moyo wa huruma kwa kufanya matendo ya kijamii kwa kutoa msaada kwa Wazee wanaolelewa katika Kituo cha Kulelea Wazee cha Busanda, kilichopo katika Kata ya Usanda, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.

Team February wametembelea kituo cha kulelea Wazee cha Busanda Februari 28,2025

















By Mpekuzi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post