
Nilianza kuona mabadiliko kwa mume wangu baada ya miaka minne ya ndoa. Kwanza alikuwa mtu wa furaha, mwenye bidii ya kutunza familia, na kila siku alihakikisha anarudi nyumbani mapema. Tulikuwa marafiki wakubwa, tulicheka pamoja, tulisali pamoja, na tuliota maisha ya baadaye kama watu wawili waliounganishwa na upendo wa kweli.
Lakini ghafla, alianza kubadilika.Soma zaidi
By Mpekuzi
Post a Comment