MUME WANGU ALIMWANDIKISHA MPANGO WA KANDO KATIKA BIMA YA AFYA LEO ANANIOMBA RADHI KILA SIKU |Shamteeblog.


Wakazi wa Mbezi Beach, Dar es Salaam walishtuka baada ya mwanamke mmoja kugundua kuwa mume wake alikuwa amemwandikisha mwanamke mwingine kwenye bima ya afya ya kampuni alikofanya kazi akimwita “mke wake wa ndoa.” Tukio hilo lilizua taharuki kwa familia hiyo, huku likizua mjadala mkubwa kwenye makundi ya wanawake mtandaoni.



By Mpekuzi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post