MH.UMMY AANZA KAZI RASMI, AFANYA ZIARA YA  KUKAGUA MIUNDOMBINU YA BARABARA ASEMA “MIMI SIO MBUNGE WA OFISINI “ |Shamteeblog.

MBUNGE wa Jimbo la Tanga (CCM) Mh  Ummy Mwalimu ameanza kazi rasmi za jimbo kwa kutembelea ujenzi na  kukagua miradi ya barabara, mifereji na madaraja ya kata nne ambazo ni Mnyanjani, Mabawa, Msambweni na Ngamiani kati za halmashauri ya Jiji la Tanga ambazo zitagharimu kiasi cha sh.bilioni 2.9. Ummy alisema kuwa ameanza kazi kwani Chama […]

Source



By Mpekuzi

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post