Na Amiri Kilagalila,Njombe Wananchi mkoani Njombe wameshauriwa kuenzi na kuvitembelea vivutio vya utalii vilivyopo ndani ya maeneo yanayowazunguka kwa lengo la kufahamu vyema rasilimali za taifa zilizopo Nyanda za Juu Kusini. Rai hiyo imetolewa na mwakilishi wa mkoa wa Njombe katika shindano la mrembo wa utalii Tanzania, Zawadi Mwambi wakati alipotembelea ofisi za mkuu wa […]
By Mpekuzi
Post a Comment