Msuva Atua Wydad Casablanca |Shamtee.blog

Winga wa Kitanzania Simon Msuva ametua kunako klabu ya Wydad Casablanca akitokea katika klabu ya Difaa El-Jadid kwa mkataba wa miaka minne.

Msuva alijiunga na Difaa akitokea Yanga sc mwaka 2017 na baada ya kucheza kwa mafanikio makubwa winga huyo mwenye kasi anatua katika klabu hiyo ya Wyadad ambayo ina mafanikio makubwa katika soka la ndani nchini Morroco na Afrika kwa ujumla.

The post Msuva Atua Wydad Casablanca appeared first on Sports Leo.



By Author

0/Post a Comment/Comments

Previous Post Next Post