Timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, hii leo inashuka dimbani kuvaana na timu ya vijana chini ya miaka 20 ya Sudan Kusini, mechi itakayochezwa Uwanja wa Black Rhino, Karatu, Arusha. Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, Jamhuri Kihwelo amesema kuwa anaamini vijana watafanya […]
By Mpekuzi
Post a Comment