
Makazi ya fungate kwenye hoteli maarufu yalibadilika kutoka kuwa ya kufurahisha na kuwa dharura ya matibabu. Mike na Dorothy walikuwa wametoka kuoana, na wakatulia kwenye ufuo wa Diani kama mahali ambapo wangetawaza harusi yao.
Akiwa na umri wa miaka 47, Mike alikuwa ameoa hapo awali, lakini mke wake alimtaliki, akitaja tofauti zisizoweza kusuluhishwa kati yao kupelekea uamuzi huo mgumu.
Siku ya tukio, Mike, mchungaji katika moja ya makanisa jijini Nairobi yenye matawi Nakuru, Kisumu na Mombasa, akiwa ametembelea Fort Jesus na maeneo mengine ya kitalii, baadaye jioni, waliamua ‘kufungua seva’ yake.
Kutokana alikuwa ameolewa hapo awali, Dorothy anaelewa wanaume wanataka nini. Akiwa kama bibi au mwanamke wa uswahilini, aliamua kumpa hubby mchungaji wake maarufu ‘mauno’ ya uzazi.
Ndani ya dakika 10 za raha, Mike alikuwa akihema. Alizidiwa na raha na kuzimia, ikamlazimu mke kupiga simu kuomba msaada kutoka kwa wahudumu wa hoteli.
Baadhi ya wafanyakazi wa hoteli hiyo walisema hivi ndivyo walivyosikia kabla ya mwanamke huyo kutoka nje ya chumba hicho akiwa ndani ya chumba cha kulala akiomba msaada:
"Ni tamu saana, tafadhali acha kidogo, nataka kupumua. Aki, sijui ningefanya nini bila wewe. Sijawahi kujua ni tamu namna hii." alisema Mike.
Alikimbizwa hospitalini akiwa ndani ya gari lake aina ya Vanguard na mmoja wa watumishi wa hoteli hiyo. Kwa bahati nzuri, haikuwa ya kutishia kifo, lakini tukio hilo lilikatisha safari yao ya kupeana asali pele kitandani.
Wakiwa hospitalini, Mchungaji alikiri kwa mkewe kwamba aligundulika kuwa na tatizo la shinikizo la damu. Tatizo la afya, alisema limeathiri utendaji wake kitandani.
"Aliposema hivyo, nilijua lazima alijaribu suluhu nyingi sana. Nilijua tu jinsi ya kumsaidia kwani Kiwanga Doctors waliokoa ndoa yangu ya kwanza wakati hatukuweza kupata watoto.
Wakitumia dawa za pekee, waliponya utasa wangu, nasi tukabarikiwa kupata watoto wawili kabla ya mume wangu wa wakati huo kufa katika ajali miaka 15 iliyopita".
"Hivyo nilimpeleka mume wangu huyu kwa Kiwanga Doctors, mwanzo alijaribu kukataa, akisema alikuwa mchungaji, lakini nilimhakikishia kuwa hakuna kitu kibaya kwa kutafuta msaada kutoka kwa waganga wa mitishamba - watu wenye mbinu za kale lakini za ufanisi za kutatua shinikizo la damu na masuala mengine. Walimpa dawa yenye nguvu ajabu" alisema Dorothy.
Miezi mitatu baada ya kupatiwa dawa hiyo, Mike akawa ameondoa matatizo yake ya shinikizo la damu. Sasa anaweza kunyanyua vyuma kwenye gym, kufurahia milo yake kwa amani na pia kumbeba mkewe na kufurahia ‘tendo’ bila hofu ya kuzirai tena.
Ukiona mambo hayaendi kama unavyotaka, basi usisite kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba +254 769 404965, wataalamu hawa wamesaidia watu wengi ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Mwisho.
By Mpekuzi
Post a Comment