Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kikao chake cha imepitia na kujadili majina ya wanachama waliowasilisha maombi ya kupitishwa kushiriki katika mchakato wa kura za maoni ndani ya chama hicho.
Miongoni mwa waliopitishwa ni Kada wa CCM, Jackline Isaro, ambaye sasa amepewa baraka za chama kuwania nafasi ya Udiwani wa Kata ya Ngokolo, iliyopo katika Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia tiketi ya CCM.
By Mpekuzi

Post a Comment